HUDUMA ZETU
AMKA CONSULTANTS
Kupitia kampuni
ya AMKA CONSULTANTS utaweza kupata huduma mbalimbali za ushauri mafunzo na
kuhamasika zaidi. Huduma zote hizi zinalenga kukusaidia wewe kufikia uwezo wako
mkubwa na kufikia mafanikio makubwa.
HUDUMA ZA USHAURI.
AMKA
CONSULTANTS inatoa ushauri katika maeneo yafuatayo.
1. Biashara na ujasiriamali.
2. Masoko na mauzo.
3. Changamoto za maisha.
4. Changamoto za kazi.
5. Elimu na ujuzi.
6. Uandishi.
7. Biashara kwa njia ya mtandao(internet marketing).
1. Biashara na ujasiriamali.
2. Masoko na mauzo.
3. Changamoto za maisha.
4. Changamoto za kazi.
5. Elimu na ujuzi.
6. Uandishi.
7. Biashara kwa njia ya mtandao(internet marketing).
Ushauri unaweza
kutolewa kwa kukutana ana kwa ana au kwa njia ya simu. Gharama za ushauri ni
kidogo sana ili kumwezesha kila mtu kufikia malengo yake makubwa.
Kupata
ushauri tumia mawasiliano yafuatayo; amakirita@gmail.com,
0717396253
HUDUMA ZA MAFUNZO.
AMKA
CONSULTANTS inaendesha mafunzo mbalimbali kupitia maandiko kwenye mtandao(blogs)
na pia kupitia semina.
Unaweza
kujifunza na kuhamasika kupitia blogs zinazoendeshwa na AMKA CONSULTANTS.
Kusoma blog hizo nenda www.amkaconsultants.blogspot.com
Pia AMKA
CONSULTANTS inaendesha semina mbalimbali za mafunzo ambapo kwa kuhudhuria
utajifunza na kuhamasika. Taarifa za semina hizi zitatolewa kwa eneo
inapofanyika, muda na gharama.
HUDUMA ZA UANDISHI.
AMKA
CONSULTANTS inatoa huduma za uandishi wa makala kwa watu ambao wanahitaji
kuandikiwa makala kwa mahitaji yao mbali mbali. Kama unahitaji makala kwa ajili
ya blog, gazeti, jarida na hata kitabu unaweza kuwasiliana nasi na kupatiwa
huduma ya makala nzuri sana.
Karibu sana
AMKA CONSULTANTS ambapo utapata huduma bora za kuboresha maisha yako na ya
wanaokuzunguka.